Wednesday, August 22, 2012

UZUSHI UNAOSAMBAZWA NA WATU KUHUSU JUMUIYA YA UONGOZI WA WATANZANIA DMV

KUMEKUWA NA UZUSHI UNAOSAMBAZWA NA WATU WACHACHE ILI KUIBOMOA JUMUIYA YA WATANZANIA WASHINGTON DC, MARYLAND NA VIRGINIA. WATU HAO WANADAI KWAMBA UONGOZI UMEPOKEA RUSHWA KUTOKA CHAMA KIMOJA CHA SIASA CHENYE TAWI LAKE PALE DMV, WATU HAO PIA WAMESHINDWA KUJITAMBULISHA NA KUAMUA KUTUMIA MAJINA BANDIA KITU AMBACHO KINAWAFANYA WENGI WAAMINI WATU HAO HAWANA UHAKIKA AU HAWAJUI WANACHOONGEA. 

Tunataka kuwarahisishia watu hawa na madai yao, wanachotakiwa kufanya ni;

(a) Wajitambulishe ni akina nani.
(b) Waje na ushahidi wa madai yao.
(c) Ni sheria ipi ya katiba ya Jumuiya iliyovunjwa
AU WAKISHINDWA KUTHIBITISHA MADAI YAO
(d) Basi wakae kimya cuz they are full of sh*t, na waache jumuiy ifanye kazi na wapunguze chuki n porojo. Tuhuma hizi nig maneno tu hata kwenye kanga yapo.

NB. Toleo hili halijatolewa na uongozi wa Jumuiya na wala halihusiani na yoyote ndani ya uongozi.
NB. Blog hii haihusiki na ujumbe hapo juu.

No comments: