Wednesday, May 30, 2012

Timu ya Taifa ya Soccer Zanzibar, Zanzibar Heroes ktk mazoezi

 Kocha wa timu ya Taifa ya Zanzibar Hemed Suleiman Moroco, akitowa maelekezo kwa wachezaji wa timu hiyo katika mazoezi ya kujiandaa na michuano ya Kombe la Dunia kwa Nchi zilizokua sio Wanachama wa FIFA, wakiwa katika mazoezi uwanja wa Mao Dze Dong.   
 Wachezaji wa Timu ya Taifa ya Zanzibar wakijifua katika mazoezi uwanja wa Mao.

o Upelechanzo

No comments: