Thursday, June 28, 2012

NYOTA WA NIGERIA OMOTOLA JALADE ATEMBELEA YATIMA JIJINI DAR

<><> <><> <><>
Mchezaji wa Filamu kutoka nchini Naigeria Omotola Jalade katikati akiwa katika picha ya pamoja na mwigizaji Wema Sepetu (kushoto) na Khadija Mwanamboka pamoja na watoto yatima wa kituo cha Tanzania Mitindo House cha jijini Dar es Salaam leo. Omotola amekuja nchini maalum kwa ajili ya uzinduzi wa filamu ya Wema Sepetu Super Star ambayo imezinduliwa jana kwenye hoteli ya Hyyat Kilimanjaro jijini Dar es salaam.


Omotola Jalade akiwasili kituoni hapo leo.

Omotola Jalade na Wema Sepetu wakiwa katika picha ya pamoja na watoto yatima wa kituo cha Tanzania Mitindo House.

No comments: